Msanii wa Mziki wa Bongoflava Kutoka Tanzania maarufu kama Y
Jay Ameamua kuweka wazi mipango ya kuachia ngoma mpya itakayo mvusha katika
mziki wa Bongo Flava na kutambulika kimataifa zaidi.Kwasasa amesema anataka
kufanya callable na msanii mkubwa ambayae anafanya vizuri katika game la mziki
hapa nchini amesema muda ukifika ataweka wazi ni msanii gani ambaye atamshirikisha.
Kuhusu Studio amesema kuwa anatarajia kufanya
na mtayarishaji wa mziki ambaye anaanda
ngoma nyingi za Jux moja kwa moja watu wametafsiri kuwa atakuwa ni Bob Manecky
kutoka Am Records ikiwa ni producer mkubwa ambaye anafamya vizuri na
ametengeneza ngoma nyingi za Jux.
Pia amewashukuru wadau wake kwa kumpa support kubwa tangu ameachia
ngoma yake ya show love ambayo inafanya vizuri mpaka hivi sasa mtandaoni na
kwenye Radio pamoja na Tv.Ikiwa amesema kuwa huu sio Muda wa kushinda kufanya
kazi kwa wasanii wa kusini bali ni muda wa kufanya kazi nzuri kwaajili ya watu
wazuri ambao wanapenda mziki na kazi za wasanii.
Baada ya Radio mmoja hapa Jijini Dar es salaam Kupiga stori
na meneja wake y jay ambaye hajataka jina litajwe ikiwa ipo siku atajiweka wazi
maarufu kama Kadefu amesema huu ni
Mwaka wa kutoa ngoma kali tu na sio maneno ni kazi juu ya kazi wadau wa y jay wakae mkao wa kula.
Blogger Comment
Facebook Comment