JotoYaDaressalaam sio jina geni kwa
wafuatiliaji wa muziki wa bendi Tanzania,Amepata umaarufu mkubwa kupitia style ya uchezaji na sauti yake nzuri ambayo inampelekea kujizolea wadau wengi kila kukicha
Msanii JotoYaDaressalaam aliyevaa kofia Kushoto akiwa na Msanii Mwingine Studio
Naamni utakuwa unaupata wimbo wa Starehe ni wimbo uliomuweka
kwenye chati za juu na wengi kujua uwezo wa pekee aliokuwa Mwanamuziki Huyu
.Kwa sasa hapa namzungumzia msanii ambaye anaitwa JOTOYADARESSALAAM Ni masanii anayeishi
nchini Marekani Ambako shughuli
zake za kimuziki anafanyia
huko.JOTOYADARESSALAAM amefanya kazi na wasanii wakubwa na ma Derector Hapa
Tanzania na nchini marekani .JOTO Hivi
karibuni amejipanga kuja na Ujio mpya
kwa mashabiki zake ila kwa Tarifa za Maisha na Kazi zake anapatikana instagram
kama @jotoyadaressalaam Facebook @jotoyadaressalaam. supalady
Watanzania wapenda mziki wa bendi wamupokea vizuri Msanii Huyo
Blogger Comment
Facebook Comment