Amezungumza hayo wakati akifanyiwa interview na Mwakatv kuhusu Filamu yake Mpya ambayo ambayo amepanga kuifanya itakayo washiirikisha mastaa mbali mbali kutoka Tanzania,
Hata hivyo amefurahishwa na hatua ambayo mziki wa Bongo Flava Tanzania umefikia na angefurahi kuona Kasi ya wasanii wa filamu kutoka Tanzania wanashiriki katika Tuzo Kubwa Dunia na hayo yote yanakuja kwa Kuweka ushirikano kati ya wasanii wenyewe wa filamu na wadau.
Kuhusu ujio wa Ngoma yake amesema tayari wameshashoot na siku yeyote kuanzia leo ataiachia mtandaoni, Na Mwisho amewashukuru wadau kwa kumpokea katika sanaa anayoifanya.
Blogger Comment
Facebook Comment