Remy Ma Alipewa miaka Miwili ya kufanya mziki sasa Nick minaj karudi tena kwenye game lake

Kuna Disstrack tumezisikia nyingi sana kati ya Remy Ma Na Nick Minaj wakipeana makavu live na Tunakumbuka Nick alikuwa kimya kwa game na sikendo ndio zilikuwa zinasikika tu,Nakumbuka kazi kubwa aliyoifanya ni tangu aachie Album ya The Pinkprint.
Alimpa onyo Remy Ma Kuwa alimpa miaka miwili tu wakati yupo kimya na sasa anaanza kuachia ngoma kali tu.
Na hii ndio shida mpya aliyoiachia Nicki Minaj ngoma inaitwa ‘Regret in Your Tears’
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment