Naylove katika picha
Amezungumza hayo hivi karibuni wakati akifanya Media Tour Hapa Jijini Dar es salaam kuwa anashukuru uongozi wake kwa kumuamini na kumfikisha mpaka hapa alipo kwa kufahamiana na wasanii na wanamitindo mbali mbali ambao wamekuwa wakimpa changamoto kubwa katika kufanikisha malengo yake aliyoyapanga ili kuitambulisha Njombe katika Ramani ya Dunia kwa kutangaza vivutio vyote ambavyo vinapatikana Mkoani Njombe hata Tanzania kiujumla.
Akizungumzia kuhusu taarifa za kuvishwa pete kama taarifa zilivyoenea kwenye Mitandao ya Kijamii Amesema Kuwa Alijikuta amepost taarifa za kuvishwa pete ingawa bado hajavishwa ikiwa ni moja ya Malengo yake.
Mwisho ameeleza kuwa Mwezi wa kumi na mbili atajiunga katika Mashindano makubwa ya Mitindo Tanzania yatakayofanyika mwaka huu huku akiwashukuru wadau wake na wazazi wake kwa msaada wanaompa
Blogger Comment
Facebook Comment