Amesema kuwa yeye hafikiri chochote kuhusu Maswala ya Team ambazo zimejitokeza katika mziki huu wa bongo flava huku akiwashauri ally kiba na Diamond kuzivunja hizo team na sasa waangalie na kuitangaza Tanzania ya Magufuli.
Amesema kuwa kuhusu Mipango yake anashukuru Uongozi wake ndani ya Bmk Production wamejipanga kwa kila mbinu kuhakikisha anafika sehemu ambayo ni nzuri ambayo watanzania watamjua kutokana na Kazi Nzuri amabayo anaifanya.Amesema kuta Wiki hit tutegemee Ndundo jipya litakuwa Mtaani
Blogger Comment
Facebook Comment