Hivi Karibuni Dr Kanye West Alitangaza Kugombea Urais Sasa Baada ya kutangaza kuutaka Urais 2020 Marekani, chama cha Democratic chazungumza.


Juzi kwenye utoaji wa tuzo za MTV VMA 2015, rapper asiyeishiwa vituko unyamwezini Kanye West alitangaza nia ya kugombea Urais wa Marekani ifikapo mwaka 2020.
Sasa chama kilichopo madarakani cha Barrack Obama Democratic Party, kimesema wanamkaribisha kwenye mapambano na uwanja wa kisiasa.
Democratic wametumia ukurasa wao wa twitter, kumpongeza na kumkaribisha kwenye kinyang’anyiro rapper huyo wa Chicago.
Welcome to the race, Mr. West. Glad to have you“.
Wachambuzi wa mambo wanadai pongezi hizo zinaweza kuwa za kumkejeli.

3 comments

  1. Dah jamaa amepotea hivi hivi
  2. issa mohamed
    let him try?May be he can win
  3. Shema
    Akichukua urais inamaana kim kadashian anakuwa first lady🏃🏃🏃

Leave a comment



Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment