Aline Vyuka Katika Pozi na Hisia za Kusifu
Hata hivyo amesema kuwa Ukimya wake ulitoka na mambo mbali mbali ya kifamilia Huku akielezea album yake itakayotoka na Video ambayo Location ya imepengwa kufanyika Bagamoyo,Zanzibar na Kigamboni.
Tanzania wanamfahamu Aline Vyuka kama msanii ambaye anatunga mashahiri Vizuri na Sauti yake nzuri pindi atakapomwimbia Bwana kwa Pambio,Ni msanii ambaye anaishi nchini Marekani Huku akifurahia Mziki wa Injili kwa sasa Unapofanya Vizuri,
Pia amewataka wadau wake wakae mkao wa kula kwaajili Ya Nyimbo nyingi na zenye Ujumbe Mzito
Blogger Comment
Facebook Comment