Mapenzi Yanamtesa Safaree

Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Nick Minaj Rapa Safaree Samuels Ambaye walidumu katika mahusiano kwa muda wa miaka 12,Na baadaye kuachana na Nick Minaj Kutua kwa Mnyamwezi Meek Mill na Mengi yalizungumzwa baada ya kuachana kwao

Huwezi amini Safaree bado anamkumbuka Nick kwa staili tofauti za kufikisha ujumbe kwa Nick Minaj na sasa ameachia ngoma inaitwa ''Cant lie'' huku inaonekana kufunguka sana kuhusu penzi lake lilopotea na kudondokea nchi jirani

Ngoma yake hii iatapatikana katika Mixtape yake Mpya inayoitwa'' It is what it is ''
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment