Video Ya Riser Imezipiku Video Mpya Zilizo Toka Mwaka huu Njombe Mjini,

Msanii ambaye anatamba na ngoma ya Nisachi Kutoka mkoani Njombe amekuwa miongoni mwa wasanii waliofanya Video Nzuri zaidi na kuwapiku baadhi ya wakongwe katika mziki mjimi hapo ikishindana na baadhi ya Video zilizotoka za wasanii wengine kutoka Makambako Iringa mjini,Mbeya Town na kwingine,

Ameeleza Video imefanya vizuri kutokana na kufanya kazi na waongozaji wa Video wenye uwezo mkubwa ambao ni Bm na Franco ambao wameamua kuja kufanya mapinduzi ya video mkoani Njombe,,Huku akieleza anaamini kwamba nisachi ni Miongoni mwa Video bora itakayo mtambulisha kimataifa zaidi Huku akiweka wazi mipango mikakati ni kufanya mziki wa kimataifa zaidi.

 Kwa Upande Mwingine amemsifia video Queen akatika video yake kuwa ameonyesha uwezo mkubwa katika kichupa chake na alikuwa ni Muelewa baada ya kuelekezwa baadhi ya vitu,Na amewashukuru wadau wake wanao support mziki mzuri na kumfanya aweze kuwa na Moyo wa kufanya Mziki wa kimataifa
                               Riser na video queen kwenye pozi
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment