Siku chache zilizopita MwakaTv ilipiga stori na Msanii Huyo kuhusu maendeleo ya album yake na ameeleza bado inazidi kufanya vizuri sokoni na anashukuru ameanza kusambaza nyimbo mpaka nchi jirani hii ni kutokana na ushirikiano mkubwa alionao na baadhi ya watu ambao wanaconnection kubwa na watu mbali mbali nje ya Tanzania.
Kuhusu Mpango ya Video Amesema kuwa kutokana na ushindani mkubwa uliopo katika video amejipanga kufanya Video na kampuni kubwa ambayo inamilikiwa na mtu maarufu sana ingawa amesema ni mapema kuweka wazi ila muda ukifika tutaweka wazi kila jambo ila wafahamu mpango wa kuleta video nzuri na zenye ubora upo.
Na amewashukuru wadau wake ambao wanampa support kwa kununua album yake sokoni.
Blogger Comment
Facebook Comment