Kutoka Mafinga huyu hapa anaitwa Mo Talent anatarajia kudondosha hatari nyingine,Amesema ngoma mpya Imeshapikwa

Msanii wa kizazi kipya kutoka MkoaWa Iringa Mo Talent Amesema kwamba yeye ameamua kufanya mziki na  mziki ndio kitu kikubwa ambacho anaamini kitamuingizia Fedha katika maisha yake  kwa sasa amejiandaa kuachia ngoma mpya kali ambayo inakuja baada ya Ngoma aliyoiachia mwanzoni mwa mwaka huu wimbo unaitwa siri.Amewataka wadau wakae mkao wa kula.

Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment