Tukio la risasi kwenye show ya Chris Brown, tweet aliyoandika na video ya tukio viko hapa


brownKati ya matukio makubwa ambayo yamekuwa yakisikika mara kwa mara Marekani, ni ishu ya matukio ya watu kupigwa ama kurushiana risasi sehemu mbalimbali.
Usiku wa juzi kuamkia jana January 11 Chris Brown alikuwa anapiga show katika Club ya San Jose, California Marekani lakini kukaibuka tukio milio ya risasi, show ikavurugika huku watu wanne wakijeruhiwa katika tukio hilo.
Chanzo hakijafahamika, Polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo, Chris alitweet “I’m 100” kuonyesha hakudhurika kwenye tukio hilo japo Tweet hiyo ilifutwa muda mfupi baadaye.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment