20 Wafungwa kifungo cha Maisha Misri


Nchi ya Misri imewahukumu washtakiwa 20 wa kundi la Muslim Brotherhood kwa kufanya shambulio lilowaua watu 5 huku wengine wengi wakiachwa na majeraha.

Moja kati ya washtakiwa hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa zamani wa Idara ya Uamuzi kwenye kundi hilo Bw. Mohamed Badie. Tukio la shambulizi lilifanyika julai 2013 katika kituo cha Polis baada ya kuondoklewa madarakani aliyekuwa rais wan chi hiyo Mohamed Morsi.

Hata hivyo makahama iliyotoa kifungo hicho iliyopo mji wa Said imesema washtakiwa hao bado wanayo haki ya kukata rufaa.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment