Wiz Khalifah akamatwa na polisi kwa kosa hili.


Rapper na mwanamitindo Wiz Khalifah, amekamatwa na polisi uwanja wa ndege kwa kosa la kugoma kuacha kuendesha hoverboard kiwanjani humo.

Instagram zimesambaa video na picha mob, zikionyesha tukio hasa lilivyokuwa huku nyingi zikionyesha akitiwa pingu.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment