Kendrick Lamar aanzisha mfuko wa kusaidia Wanafunzi.



Nelly na Nas ndio walikuwa rappers wa kwanza mwaka huu, kuanzisha mifuko ya kusaidia watu wasiojiweza.

Mkali kutoka Compton Kendrick Lamar, nae ameingia kwenye mchongo huu muhimu kwa kuanzisha mfuko utakaosaidia na kuhamasisha wanafunzi aliouita Be alright.

‘Fund’ hii itakuwa ikifanyika msimu wa wanafunzi kurudi mashuleni, na atakuwa akitoa zawadi na scholarship mbali mbali.

Hatua hii ni baada ya mauzo makubwa ya Album yake ya Pimp A Butterfly.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment