West Bromwich wachomoa Berahino kwenda Tottenham Hotspur



Klabu soka ya West Bromwich imesema haipo tayari kumuachia mchezaji wao mwenye asili ya Afriaka Saido Berahino kwenda kucheza ndani ya Klabu ya Tottenham Hotspur kwa thamani ya pesa ndogo.

West Bromwich wamesema kama kweli Tottenham Hotspur wanamtaka mchezaji huo itawalazimu kutoa kiasi cha Euro million 25.

Tottenham Hotspur wamepinga kutoa kiasi hicho cha fedha na kusema kiasi hicho ni kikubwa sana kulinganisha na thamani yake, lakini wapo katika majadiliano zaid waone kama wataongeza fedha kidogo li kuwashawishi West Bromwich .
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment