Ujio mpya wa Nas kuachia ‘The lost tapes 2′.

Turudi mpaka mwaka 2002 kipindi ambacho Nas aliachia album yake ya Lost tapes, ilikuwa ni Album iliyokusanya ‘ngoma’ zote ambazo hazikuwahi kusikika.

Pini hizo zilikuwa ni mabaki katika Mikwaju iliyounda album zake kama, Am, Nastradamus, na Stillmatic.

Awali tetesi zilisanua kwamba Nas angetoa toleo la pili la ‘The lost tapes’ mwaka 2010, lakini hatuona akiiachia.

Sasa wakati akiojiwa na Jarida la Drip, Nas amefunguka ‘exclusive’ kwamba ataachia ‘The lost Tapes 2′ mwaka 2016.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment