Meek Mill aipa Mwendelezo mixtape ya ‘Dreamchasers’ na sasa katuletea mixtape ya ‘Dreamchasers 4’

Siku chache zilizopita Nick Minaj alieleza kuhusu beef anazokutana nazo mpenzi wake Meek na kueleza kuwa zinafaida kubwa sana kwa meek mill zinamfanya watu wasimsahau katika game na ndiomana baada ya beef huwa anaachia ngoma.

OK na sasa Meek ameachia mixtape ikiwa na nyimbo 14, ikiwemo ‘On the Regular’, ‘Blessed Up’, ‘Shine’, ‘Offended’ amemshirikisha Young Thug na 21 Savange, ‘Outro’ amemshirikisha Lil Snupe na French Montana, ‘Tony Story 3’, ‘Froze’ aliomshirikisha Lil Uzi na Nicki Minaj na nyingine.

Na kama umeitafuta umeikosa fahamu kuwa Mixtape ya ‘Dreamchasers 4’ inapatikana kwenye mtandao wa Apple Music

Na huu ni mwendelezo wa mixtape yake ya kwanza ya ‘Dreamchasers’ambayo aliiachia mwaka 2011,aliiachia 2012 ikiwa ni ya pili na ya tatu aliiachia mwaka 2013, Na mixtape yake ya nne ameiachia leo ijumaa.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment