Asmet Atuma Salaam Kwa Kuanza na ngoma ya Hellow,Amesema Tusubiri Collable na Star Kutoka Tanzania.

Msanii mwenye sauti Nzuri na yenye Mvuto Asmet ambaye ameanza kuwa ni Kipenzi cha dadaz kibao ambao wanasupport mziki wa Bongoflava Tanzania,Hivi karibuni ameachia ngoma yake mpya ya 'hellow' ambayo imekuwa Gumzo kubwa Mtaani Huku ikiongoza kuwa Requsted katika radio hapa town.


Amefunguka kuwa ngoma yake ya Hellow imempa jina Tangu ameanza kufanya mziki wa Bongoflava na sasa ameweka mipango yake wazi ya kufanya ngoma na msanii mkubwa wa bongoflava ingawa hajaweka wazi ni msanii gani ambaye atafanya nae kazi na ngomba hiyo mpya itafanyika katika studio ya Mwaka ze Boy

Katika hatua Nyingine amesema anashukuru kuona mziki wa Mkoani Kwake Njombe Umekuwa Ukifanya Vizuri zaidi na kila msanii anajua nini akifanye.Lakini pia amewashukuru directors waliofanya Video yake Ya Hellow Ambao ni Bm na Franco Kuwa wamesaidia kukuza video yake kutoka na ubora wa kazi walionaofanya na majina yao kuwa makubwa katika game.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment