Akizungumzia Kuhusu Kuchelewa Video yake ya Nimejifunza Brana Radium amesema kampuni ambayo amefanya nayo kazi ya EyePicture Production ilikuwa imeshakubaliana na Meneja wake ila Mwisho wa Siku Cameramani Ngoti Yunus alisafiri na kuelekea South Afrika Ili kuchukua Baadhi ya Vifaa Vya Kushoot Video yake Hivyo ilipelekea kuchelewa Video yake.
Kuhusu Malengo yake Brana Radium ameeleza kwasasa anamuachia Meneja wake Immanuel Mnami ambaye anaongea na msanii mkubwa kutoka hapa Tanzania kwaajili ya kufanya Collable,
Mwisho amewashukuru wadau wake na kuwapa moyo wa kusubiri video yake na kwamba kichupa wameshashoot tayari kiko production bado tu Muda Ukifika Uongozi utatoa taarifa lini kichupa kitoke.
Brana Radium akiwa na Video Queen wa Nimejifunza katika Pozi |
Brana radium katika pozi |
Video Queen |
Blogger Comment
Facebook Comment