Kwasasa amesema kuwa kidonda hicho kinakaribia kupona kutoka na maandalizi yalipofikia ya ngoma hiyo ya kidonda changu ambayo anatarajia kutoa hivi karibuAkielezea ngoma hiyo amesema kuwa itawagusa watu wengi na ni ngoma ambayo inaelezea vitu Vinavyoeleweka katika mahusiano.
Amesema kuwa sasa mziki umerudi kwake na atafanya vizuri kwaajili ya wadau wake ambao wanasupport mziki wake,addy amezungumnza hayo wakati akifanyiwa Interview na kituo kimoja cha radio hapa jijini Dar Es salaam.
cover ya kidonda changu Next Release
Blogger Comment
Facebook Comment