Mpaka hivi sasa Mapokezi yamekuwa mazuri Huku wakijipanga katika maandalizi ya Video ambapo uongozi wake Umesema ili kuonesha Uzalendo zaidi Video itafanyika Njombe na Director Kutoka Njombe,
Naye Msemaji wa Klabu ya Njombe Mji Bwana Mhagama ameshukuru hatua aliyoifikia msanii huyo na kuomba wadau wajitokeze kuhakikisha wanatoa sapoti katika kufanyika Video ya Ngoma hii.
Blogger Comment
Facebook Comment