NjombeMjiTour Anayoifanya Brana Radiun Yamkutanisha na wadau wa Timu ya Njombe Mji kutoka Njombe.

Baada ya Timu ya mkoa wa Nombe Njombe mji kupanda Daraja ndipo macho ya wadau wengi wa soka yalianza kuitazama Njombe Mji kwa jicho la tatu Huku Msanii Kutoka kichiwa Brana Aliamua kutoa pongezi zake kwa kuingia studio na kufanya Ngoma ambayo ipo katika mahadhi ya mziki unaofanya vizuri hivi sasa Mziki wa singeli.

Kwa Kuthamini vitu vya nyumbani na kuheshimu Media za Nyumbani amaeamua kutoka Dar na Kufanya Media Tour katika Mkoa hu,Huku  wa Njombe ambao anatoka na ndio makao makuu ya timu hiyo ya Njombe Mji,

Akizungumza na Radio  Kingsfm iliyopo Njombe amesema kwanza anafurahi sana kwa radio za nyumbani kusupport mziki mzuri na ngoma ya Njombe Mji ambayo mpaka hivi sasa imekuwa gumzo katika mkoa huo,Akiongezea kuwa anashukuru wadau wamempokea vizuri Rais huyo wa Njombe na sasa kilicho baki  ni kufanya Video.

Naye msemaji wa Timu ya Njombe mji bwana Mhagama amefurahishwa na kitendo cha uzalendo alichokionyesha msanii huyo.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment