
Habari kuu iliyokuwa gumzu nchini Cuba ni Ujio wa Papa Francis
ndani ya nchi ya Cuba na kukutana na aliyekuwa rais wa zamani wa nchi
hiyo Fidel Castro.
Taarifa zinaeleza kwamba Papa Francis alienda kumtembelea kiongozi huyo wa zamani wa Cuba nyumbani kwake huku ziara hiyo ikitafsiriwa kama ya kirafiki.
Wawili hao walizungumza kwa muda takribani wa dakika 30 ambapo walijadili kuhusu amani, uonevu kwa baadhi ya raia nchi mbalimbali na uharibifu wa mazingira.
Taarifa zinaeleza kwamba Papa Francis alienda kumtembelea kiongozi huyo wa zamani wa Cuba nyumbani kwake huku ziara hiyo ikitafsiriwa kama ya kirafiki.
Wawili hao walizungumza kwa muda takribani wa dakika 30 ambapo walijadili kuhusu amani, uonevu kwa baadhi ya raia nchi mbalimbali na uharibifu wa mazingira.