Fri Cee Amesema ili Kunogesha Mziki wake anatarajia kuufanya wimbo wake Mpya kwa Lugha ya Kiswahili ikiwa Atakuwa karibu na msanii killy ambaye anasifika katika uandishi mzuri wa Mashairi ikiwa ameshawahi waandikia mastar wakubwa kutoka Tanzania na Kenya,Killy anatamba na ngoma ya Nikwambie inayoshika nafasi za kwanza katika Media Mbali mbali Africa,
Amezungumza Haya Kupitia Radio Moja Nchini Tanzania kuhusu Mipango yake,Na Kuhusu Kumpost Mara Kwa Mara Star wa filamu kutoka Tanzania Jackline Wolper ambaye anafanya vizuri katika soko la filamu kwenye Mitandao ya Kijamii Amesema kuwa ni Msanii ambaye anamkubali sana na Anatarajia ipo siku akamtumia katika Ngoma yake Mpya kama video Queen Endapo Watakubaliana katika hii kazi ambayo anatarajia kuiachia Muda si Mrefu.
Video Ni kitu Mhimu Kutoka kwa wasanii kwasababu zimekuwa zikiwatambulisha mbali zaidi kimziki Amesema kuwa Meneja wake aliyoko Tanzania anampango wa kuongea na Director Msafiri Ilikuleta Utanzania Zaidi.
Blogger Comment
Facebook Comment