Elly Fire katika pozi
Baada ya kuachia Ngoma yake mpya ya Bei Mbaya amesema kuna mipango mikubwna ni kuja na ngoma nyingine ambayo itawakamata watu wote kutoka na mahadhi ya hiyo ngoma huku collable nyingi zikitarajiwa kutoka wakiwemo mastaa mbali mbali ndani na nje ya nchi.
Pia Amevishukuru vyombo vya habari kwa support kubwa ambao wameitoa katika ngoma ya Bei mbaya Wiki Hii Channel ten imeitambulisha rasmi ngoma ya Bei Mbaya huku wadau wakiipongeza kuwa ni video nzuri pamoja na audio.Huku Magic fm ikiwa imeitambulisha Ngoma ya Bei Mbaya.
Blogger Comment
Facebook Comment